wilaya ya mpanda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    LGE2024 Katavi: Mgombea Mpanda adai amepigwa na Diwani, Polisi Kata asema hana uwezo wa kumsaidia

    Mgombea wa nafasi Mwenyekiti wa Kijiji cha Kabwaga, Kata ya Mwamkulu Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi, Helman Lutambi Mzee amesema Novemba 27, 2024 siku ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa amedai kupigwa na Diwani wa Kata hiyo, Kalipi Katani na kumsababishia maumivu makali mwilini mwake. Ameeleza...
  2. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Mkazi wa Mpanda akutwa kajiunganishia maji chumbani kwake

    Hii Nchi Kila mtu akipata angle au gape la kutumia basi anatumia bila kupoteza muda. ========= Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mpanda (MUWASA) imemkamata Yusuph Singu mkazi wa mji wa zamani kwa tuhuma za kujiunganishia maji chumbani kwake kinyume na taratibu. Katika utetezi wake...
Back
Top Bottom