wilaya ya mpanda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. LGE2024 Katavi: Mgombea Mpanda adai amepigwa na Diwani, Polisi Kata asema hana uwezo wa kumsaidia

    Mgombea wa nafasi Mwenyekiti wa Kijiji cha Kabwaga, Kata ya Mwamkulu Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi, Helman Lutambi Mzee amesema Novemba 27, 2024 siku ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa amedai kupigwa na Diwani wa Kata hiyo, Kalipi Katani na kumsababishia maumivu makali mwilini mwake. Ameeleza...
  2. Mkazi wa Mpanda akutwa kajiunganishia maji chumbani kwake

    Hii Nchi Kila mtu akipata angle au gape la kutumia basi anatumia bila kupoteza muda. ========= Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mpanda (MUWASA) imemkamata Yusuph Singu mkazi wa mji wa zamani kwa tuhuma za kujiunganishia maji chumbani kwake kinyume na taratibu. Katika utetezi wake...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…