“NI MARUFUKU BIASHARA YEYOTE YA MADINI KUFANYIKA MAJUMBANI WILAYANI TUNDURU – WAZIRI MAVUNDE”
Apiga marufuku wageni kwenda kununua madini machimboni
Aweka jiwe la msingi la ujenzi wa soko la madini
Asema wafanyabiashara wa madini Tunduru ni mfano wa kuigwa kwa kujenga Soko la madini kwa...