wilbrod slaa

Chadema is a center-right political party in Tanzania. It campaigns largely on an anti-corruption platform. The name is short for Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Swahili for Party for Democracy and Progress.

View More On Wikipedia.org
  1. Mindyou

    Kwa sababu za kiafya, maombi ya dhamana ya Dr. Slaa yasajilliwa kwa hati ya dharura Mahakama ya Rufani

    Wakuu, Mwanasiasa na mwanaharakati mashuhuri, Dkt. Wilbrod Peter Slaa, ameomba Mahakama ya Rufaa ya Tanzania impatie dhamana akisubiri rufaa yake ya jinai kusikilizwa. Ombi hili limewasilishwa chini ya hati ya dharura kubwa na wakili wake, Hekima Mwasipu, likieleza kuwa Dkt. Slaa amewekwa...
  2. R

    Kwa matamshi haya, Dr. Wilbrod Slaa atakaa sana korokoroni! (kama kweli kayatamka maana kuna AI)

    Nisipoteze muda wenu, sikiliza wenyewe. Mods tulikuwa tunajiuliza Huyu mzee kasema nini mpaka wamshikilie hivi? Spare this watu wajue the inside out of this saga
  3. Ojuolegbha

    SI KWELI Dkt. Wilbrod Slaa Aachiwa kwa Dhamana Yenye Masharti Makali Leo Februari 7, 2025

    Dkt. Wilbrod Slaa Aachiwa kwa Dhamana Yenye Masharti Makali Leo Februari 7, 2025 Mahakama Kuu ya Tanzania leo imemuachia kwa dhamana Dkt. Wilbrod Slaa, baada ya kukaa mahabusu kwa zaidi ya mwezi mmoja. Dkt. Slaa anakabiliwa na shtaka la kusambaza taarifa za uongo kupitia mtandao wa X (zamani...
  4. R

    Tujikumbushe historia: Leo Wilbrod Slaa anataka atetewe, aonewe huruma? All in all, dhamana ni haki yake

    Anaandika Lieratus Mwangombe Yesterday, the High Court ordered the Kisutu Court to hear and process Amb. Dr. Slaa's bond today. Shockingly, President Samia's Govt has maliciously failed to bring Dr. Slaa to court, citing a vehicle breakdown as an excuse. Dr. Slaa has been detained for over 20...
  5. M

    Mdude analalamikia makundi CHADEMA

    Ukipost jambo lolote baya dhidi ya serikali hawa ndugu zetu ambao hawajakubali matokeo lazima wa-comment hivi ; " Andamaneni Dr. Slaa atoke, andamaneni mpate tume huru ya uchaguzi". Sasa hawa wenzetu wamejitoa upinzani na kuunga mkono juhudi? Halafu comments zao na post zao ujumbe unafanana...
  6. JanguKamaJangu

    Pre GE2025 Wakili Madeleka: Dkt. Wilbrod Slaa ataendelea kusota Magereza hadi Januari 30, 2025, kwa sababu; "Kuna ugeni wa Marais"

    Pia soma: ~ Wakili Peter Madeleka amtumia Ujumbe Tundu Lissu kuhusu kesi ya Dkt. Slaa ~ Mwendelezo wa kesi ya Dkt. Slaa Mahakama Kuu, leo Januari 24, 2025, Wakili Madeleka ataka Mahakama ifute kesi ~ Wakili Madeleka: Kisutu kuna danadana za kumyima haki ya dhamana Dkt. Slaa tumeenda Mahakama Kuu...
  7. Mpigania uhuru wa pili

    Pre GE2025 Dkt. Slaa anavuna alichopanda

    Miaka 10 iliyopita dr slaa alikua ni mwanasiasa wa upinzani maarufu hakuna aliyemfikia na dr slaa ni moja ya watu aliowafanya watu wengi hasa vijana kupenda siasa za upinzani Baada ya miaka 15 kupita dr slaa sio relevant tena ule umaarufu hana tena, maisha yana enda kasi sana leo hii ananyimwa...
  8. J

    Tundu Lissu kumbuka Yesu alipofufuka alimrudisha kundini Petro

    Vivyo hivyo waweza kumsamehe Dr Slaa kama ametubu Mimi siyo mwanachadema ila ni mdau wa SIASA za Haki Mungu wa Mbinguni mbariki Tundu Lissu. Ahsanteni sana 😀
  9. Countrywide

    Nani atamfunga paka kengele CHADEMA? Wangwe alishindwa, Slaa alishindwa, Zitto alishindwa na sasa Lissu ameshindwa

    Ni wazi kwa sasa hakuna tena wa kumfunga paka Kengele, wengi waliamini Lissu angeweza hii kazi kwa kuwa wanasema yeye sio muoga. Lakini cha kushangaza nae ameonyesha uoga na ameshindwa. Maswali yaliyo ndani ya Wanachama wengi ni nani sasa ataweza? Je, wataenda hivi hadi lini? Wapo wanaomtaja...
  10. The Palm Beach

    John Heche vs Dkt. Slaa: Je, ni kweli utekaji, kupotea kwa watu na kupigwa risasi Tundu Lissu Septemba, 2017 ni 'INSIDE JOB' ya CHADEMA wenyewe?

    Ni malumbano makali kati ya John Heche [M/Kiti - CHADEMA - kanda ya Serengeti] na Dr W. P. Slaa [Former GS wa CHADEMA] huko club house moja usiku wa kuamkia leo Alhamisi trh 28/4/2022.. Msingi wa malumbano hayo ni hoja ya Dr Slaa aliyowahi kuiibua na kuripotiwa hapa hapa JF kuhusu UTEKAJI...
  11. JanguKamaJangu

    Dkt. Slaa: CHADEMA walimteka mtu wao, wakamtesa, wakamtupa, mimi nikajua watekaji ni Usalama wa Taifa

    Picha: Dkt. Willbrod Slaa Mwanasiasa Willbrod Peter Slaa amefanya mahojiano na kuzungumza mambo mengi kuhusu siasa, mahojiano haya ni mwendelezo ya interview aliyofanya wiki iliyopita. TAARIFA YA CAG INAPOTOSHWA “Kuna upotoshwaji kwenye taarifa ya CAG, nadhani Zito Kabwe angelisaidia sana...
  12. Mwande na Mndewa

    Mwaka 2008,Katibu Mkuu akiwa Daktari Wilbroad Slaa,Chadema ilifufuka baada ya kutokea kashfa ya "Richmond" na kuendesha "Operation Sangara"

    NIWAKUMBUSHE KUFUFUKA KWA CHADEMA MWAKA 2008. Leo 11:02am 19/03/2022 Mwaka 2008,Katibu Mkuu akiwa Daktari Wilbroad Slaa,Chadema ilifufuka baada ya kutokea kashfa ya "Richmond" na kuendesha "Operation Sangara" nchi nzima, mikutano yao ilivutia watu wengi kwa hoja zao motomoto za kashfa ya...
  13. Idugunde

    Ombi maalumu kwa Dk Wilbrod Slaa: Anzisha chama cha siasa ili kiwe chama cha Upinzani

    Hapa utaibana Ccm kama enzi zile unaibana juu ya mafisadi papa na list of shame ukiwa Chadema. Wewe unavyanzo kibao vya kupata data za wezi wa mali za umma. Ukiwa na chama chako utakuwa na nafasi kubwa kuibana Ccm. Watanzania wanaimani kubwa na wewe, maana hauna historia ya upigaji madili...
  14. Mzee Mwanakijiji

    NYUMA YA PAZIA: CHADEMA ilivyosalitiwa 2015 - Dkt. Slaa

    (Pichani kitabu kikianza kupatikana kwa Wabunge, Dodoma) UPDATE: Kuna watu wanaulizia jinsi ya kupata nakala ya kitabu cha "Nyuma ya Pazia" cha Balozi Dkt. Wilbrod Slaa. Sasa kinaweza kupatikana baadhi ya mikoa: Mbeya Piga Simu: 0759829015 Arusha Piga Simu: 0716505921 Dodoma Piga Simu...
  15. J

    Wabunge wa Lowassa wamerudi CCM na kumpa majibu Dr Slaa kwamba mzee wao alikuwa ni Liability kwa CHADEMA!

    Mwenye macho haambiwi tazama......hatimaye swali la Dr Slaa He Lowassa no asset au liability limepata majibu. Tunakoelekea Chadema itabaki na Mbowe na wale binti wa Ndesamburo basi!
Back
Top Bottom