Mada hii imeshajadiliwa na wenzetu kabla. Hata hivyo kutokana na umuhimu wake ni muhimu kuijadili katika vipembe vingine kuzidi kuifahamu
Microsoft wameshatangaza kuwa toleo la windows 10 liliopo sasa litafikia ukomo ifikapo oktoba 2025.Watumiaji wake wataachwa kujikongoja na toleo hilo na...
Ni mwaka wa sita huu natumia windows 10, najikuta kwenye mazingira ya kushawishika kuweka windows 11 maana ndio windows toleo jipya zaidi, ila nimeona kwanza nipate ushauri wenu mnaotumia ama mliowahi kutumia windows 11.
Kuna mambo gani tunayakosa watumiaji wa windows 10 ?
mipangilio...
Habari wadau nahitaji licenced windows 10pro na ms office 2016
Ninatoa 100k
Nicheki 0621973591.
Note:
Sihitaji pirated wala cracked version.
Ikiwa kwenye cd yake ni bora zaidi.
Habari,
Je unahitaji software yoyote katika kazi / biashara zako.
Nipo hapa kukusadia kupata software yoyote unayotaka katika kukusaidia kazi / biashara yako. Software au program katika kifaa chako cha kazi kama kompyuta au simu.
Nitajie sofware au kazi yako inayohitaji software maalum...
adobe
app
apps
audio
biashara
dar
dar es salaam
free
graphics
je wajua
kazi
key
kitabu
kusikiliza
kusoma
mechanical
microsoft
microsoft office
office
pro
professional
software
speech
unatafuta
wajua
windowswindows10
yako
jana ilidownload mpaka 100 asilimia kufika hapo ikaganda tu
leo ndio imekaa tu 0 asilimia wala haisogei
naomba msaada maana hata bluestacks emulator imegoma kufunguka nahisi tatizo ni hili na nilitumiwa vitu muhimu sana whatsapp navihitaji sana lakin bluestacks haifunguki tena,yaan hata sielew...
Whether you've been using Windows 10 for years or have only recently upgraded, there are plenty of new and old tips, tricks and hidden features to learn that will make using your laptop every day faster and smoother. Learning to be quicker and more productive on your laptop may be especially...
Nina week ya pili sasa toka nilipofanya major update ya windows 10. Kwakweli sijaielewa naona haiko poa kama ilivyokiwa awali.
Kuna minor changes kwemye UI pia nazo sijazielewa pia.
Vipi wenzangu mmeielewa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.