Timu ya taifa ya Algeria wameshinda goli 2 kwa 0 dhidi ya Tunisia katika mchezo wa fainali uliyopigwa leo mazehe.
Wafungaji ni,
Sayoud 99
Brahimi 120+5
Wenye mpira wao bwana,,,hawatumii nguvu wala uganga ili wawin,,,ni akili tuu ina2mika hapo,,,Hongera zao magiant.