#1
Kijana Mdogo Mtanzania mwenye kuipenda nchi yangu,........
Kwanza kabisa nimshukuru allah(Mungu) kwa kunipa nafasi ya kuandika uzi huu huku machozi yananitoka?
-Vita na Migogoro yote duniani ,chanzo ni mali na haki.
*Mfano Dr.Congo chanzo ni Dhahabu,
*Libya-mafuta
*Israel-ardhi...