wino

Wino (stylized as WINO and pronounced "wine-oh") is a Japanese rock band that formed in 1995 and broke up in 2002. Originally, the band's name was ボグ・マイトルスター (bogu maitorusuta), which seems to be just gibberish. The band was renamed WINO in 1996. One of Wino's biggest hits was "Taiyou wa Yoru mo Kagayaku" (The Sun Also Shines at Night), the second opening in the 1999 anime series Hunter × Hunter.

View More On Wikipedia.org
  1. Fundi nzuri WA Samsung JAMAN simu imepasuka na wino umevuja naogopa Hawa chovya chovya

    Wale mnaojua fundi nzuri WA Samsung kawe. Ama mwenge ama kariakoo Naomba tuambiane Mwanangu kashika simu asbh kaamua kuvuka na chake Kioo kwishnaaa Winoo. Hioo Samsung a03 Sijui sh ngapi sio kwa kutishiwa na watu hivi oohh
  2. Leo tutakua na ofa ya kudesign logo kali ya wino wa GOLD kwa TSH 30,000 tu

    LOGO KALI INAKUZA BRAND YAKO Leo tutakua na ofa ya kudesign logo kali kama hii yenye wino wa GOLD kwa TSH 30,000 Logo kali kama hizo utazipata kwetu tu. WHATSAPP: 0612607426 WECHAT: bandg_editors Bright AND GENIUS GRAPHICS KARIBU
  3. K

    Naulizia ubora wa printers epson 3010 na 3050 kwenye matumizi ya wino na uimara wake pamoja na bei

    ubora wa printer Epson 3010 na 3050 kwenye matumizi ya wino uimara na being IPI ni nzuri zaidi
  4. Dhambi hii inaenda kuandikwa Kwa wino wa Chuma

    #1 Kijana Mdogo Mtanzania mwenye kuipenda nchi yangu,........ Kwanza kabisa nimshukuru allah(Mungu) kwa kunipa nafasi ya kuandika uzi huu huku machozi yananitoka? -Vita na Migogoro yote duniani ,chanzo ni mali na haki. *Mfano Dr.Congo chanzo ni Dhahabu, *Libya-mafuta *Israel-ardhi...
  5. Mwaga wino kama uliwahi kukumbwa na kisa kama hiki

    Kipindi nipo shule nilikuwa napenda kukaa upande wa dirishani unaotazamana na jiko la shule. Sasa siku moja nikawa naona baba mpishi amefungua sufuria la maharaghe akaweka chumvi, eeh tena ni nyingi hadi akawa kama ana wasiwasi kazidisha ikabidi atoetoe na kijiko lakini nahisi hakufanikiwa...
  6. T

    SoC02 Wino wangu kwa Kiongozi

    UTANGULIZI Neno Kiongozi limebebwa na neno ‘nafasi’ ambayo inakamilisha uwepo wa icho cheo yaani ‘’KIONGOZI’’ Ni vizuri kuelewa katika maisha tunayoishi leo kuna mwanzo wake vivyo hivyo kuna mwisho wake,kujikumbusha ni swala la muhimu sana hili nafasi zetu tunazopata duniani iwe ni kwenye...
  7. Tofauti ya teuzi za Samia na Jakaya Kikwete ni wino wa kalamu tu vinginevyo ni mmwendo ya mwenye nacho uongezewa hasiye nacho akafie mbali anafaa kugo

    Je nawaza tofauti au Niko sawa?kichwa Cha habari chajitosheleza
  8. R

    Wapi naweza pata wino fake Canon Image Runner 1325ir

    Habari wadau, Mimi hata sitaki maneno meng in short ni kwamba nina kaz kubwa nataka kuprint ila uwezo wa kumudu wino wa laki 7 sina naombeni msaada wapi naweza kupata wino fake Natanguliza shukrani
  9. R

    Canon printer wino laki 7

    Habar wadau Hapa nahisi tunapigwa hapa ofisi kuna printer mbili zote canon iage runner 1325 IR mimi napenda sana most of my material yawe in gard copy shida ni wino sasa unauzwa bei mbaya ivo ni lazima printer itumike kuprints only office documents Sasa naombeni ushauri wapi naweza pata wino...
  10. Naomba Kujua Wino wa Epson L3110 Printer kwa chupa zote nne ni Bei gani?

    Naomba Kujua Wino wa Epson L3110 Printer kwa chupa zote nne ni Bei gani?
  11. Maandishi meusi yaliyoandikwa kwa wino mweusi

    Nawasalaam ndugu zangu wapendwa natumai wote ni wazima wa afya. Moja kwa moja nianze na maandishi yangu meusi yaliyo katika karatasi nyeupe na haishangazi sana mana ni utaratibu na uandishi wenye kusomeka kama sio kueleweka kwa urahisi zaidi na ndio maana unapata nafasi maridhawa ya kusoma...
  12. Idara ya Ardhi Jiji la Dodoma, wiki ya 3 hakuna printer wala wino -- kulikoni?

    Ngoja niende moja kwa moja kwenye mada. Nyinyi watu wa ardhi jiji la Dodoma, kiukweli mnatupa tabu wateja wenu, nimefika hapa ofisini kwenu kufuatilia hati yangu nina mwaka wa 2 huu tangu mwaka 2019, hadi leo hati bado sijapata. Leo nimefika hapa asubuhi na mapema saa 12 asubuhi, niliona bora...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…