wizara mambo ya ndani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Erythrocyte

    Hamad Masauni alifukuzwa UVCCM kwa kufoji Umri, Ni kejeli kwa Nchi kumteua kuwa Waziri

    Ili aendelee kuwa Mwenyekiti wa Uvccm hakutakiwa kuzidi umri wa Miaka 30 kwa utaratibu wa wakati ule (Niko tayari kusahihishwa), labda Wabadili kipindi hiki. Baada ya kuona Umri unamtupa Mkono Bwana Masauni aliamua kufake umri kwa kuboresha taarifa za tarehe ya kuzaliwa kwake na kusogeza kutoka...
  2. kibori nangai

    Ni vyema Jeshi la Polisi likawa linatoa taarifa ya matukio yote ya kihalifu ili kujenga imani kwa jamii

    Jeshi la polisi Jukumu lenu ni Usalama wa Raia na Mali zao . Na msiwe na bias kwenye hili Msibagua watuu maana nyinyi ni wazazi bila kujali itikadi ,dini ,kabila ,ranging na vyote hivyo Lkn hili swala la watu kutekwaa na kupata taarifa kwenye vyomba vya habarii hasa hasa Social media bila...
  3. JanguKamaJangu

    Waziri wa Mambo ya Ndani: Tukio la anayesemekana alitekwa (SATIVA) uchunguzi unaendelea

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amezungumzia kukamatwa kwa watuhumiwa mbalimbali wa sakata la utekaji ambalo limekuwa likizungumziwa na vyombo mbalimbali vya habari katika siku za hivi karibuni huku likiacha taharuki kwa wananchi huku pia suala la kuteswa likitajwa...
  4. Cute Wife

     Mpaka sasa hakuna taarifa yoyote kutoka kwa Muliro, IGP Wambura wala Waziri Masauni juu ya utekwaji wa Sativa, kuna nini?

    Wakuu salam, Naamini wote mpaka sasa tufahamu kuhusu suala la Sativa kutekwa mpaka kupatikana jana akiwa ameteswa sana, pamoja na maelezo yake ya awali kwa polisi. Edga Mwakabela (Sativa) Tulitegemea kuwe na uwajibikaji kutoka kwenye vyombo vya usalama kwa Muliro, IGP na hata Waziri wa Mambo...
  5. Kaka yake shetani

    Balozi za Tanzania kutakiwa kuwa na makazi ya kudumu na siyo kulipa kodi ni sawa?

    Kwa safu ya mama aliyopo nayo wengi wao wamekuwa wakilalamikiwa bungeni na wananchi kiujumla kuhusu ufisadi na utendaji wao kwenye wizara. Nilimsikia waziri January Makamba kuhusu balozi zetu zilizopo zimekuwa zikighalimu pesa kwa ajili ya kupangisha eneo kwa ajili ya balozi zetu. Wazo la...
  6. Roving Journalist

    Waziri Masauni na Waziri Mavunde wawasili Mara kwa ajili ya mgogoro Kati ya Wananchi na Wamiliki wa Mgodi wa North Mara

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, leo tarehe 30/5/2024 wamewasili Mkoani Mara kuelekea Wilaya ya Tarime kwenye mgogoro Kati ya Wananchi na Wamiliki wa Mgodi wa North Mara. Pia soma Nyamongo Kuna Shida gani na Wawekezaji wa Mgodi...
  7. Keylogger

    Haki ya Kufa kwa Heshima: Wito kwa Sheria ya Haki ya Kufa kwa Heshima nchini Tanzania

    Haki ya kufa, mara nyingi hujulikana kama kujiua kwa msaada wa daktari (PAS), ni suala tata na nyeti. Hata hivyo, kupuuza mateso ya watu wanaopitia maumivu makali kwa muda mrefu kutokana na sababu mbalimbali kunakuwa kukosa kuheshimu haki yao ya msingi ya heshima(dignity). Katika uwanja wa haki...
  8. SAFCo_Academy

    (Tanzania) Clean up your data headaches! Jump into Power Query training and see how it can make your data work way easier.

    Why Choose Power Query Training with Us? Hands-On Learning: Our training is practical and hands-on, ensuring you gain real-world skills that you can apply immediately. Expert Guidance: Learn from experienced instructors who will guide you through the ins and outs of Power Query. Supportive...
  9. R

    SoC02 Uraibu Mpya

    Naitwa Mundu nimezaliwa kwenye familia ya watoto saba. Baba yangu alifukuzwa kazi sababu ya ulevi na upinzani wa kisiasa mwaka 1996, mwaka mmoja tu baada ya mimi kuzaliwa nikiwa mtoto wa nne kati ya watoto saba. Familia haikuwa na amani sana mwanzoni kwa sababu ya ulevi uliopindukia na msongo...
  10. Aliko Musa

    Njia mbili (2) za kustaafu ukiwa huru kifedha, ajira ina mchango mkubwa kustaafu mapema

    Kustaafu ni kufikia uwezo wa kifedha wa kuweza kufanya chochote utakacho kulingana na kiasi cha utajiri wako. Kwangu mimi kustaafu sio kuacha kufanya kazi (ajira au biashara). Neno kustaafu nimekutumia kwa lengo la kumaanisha kueleza hatua anayofikia mtu ya kifedha. Sina maana uache kufanya...
  11. benzemah

    Simbachawene viatu vimekuwa vikubwa sana kwake?

    Hivi karibuni, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amekuwa akitoa majibu na kauli zisizojitesheleza pale anapotakiwa kutoa ufafanuzi kuhusu mambo ya msingi yanayohusu masuala ya amani na usalama ndani ya Taifa letu hasa ikizingatiwa yeye ndiye Waziri mwenye dhamana ya Wizara...
  12. J

    Hizi wizara za muungano (Fedha, Ulinzi, Ndani, Nje) ni ipi inaongozwa na Mzanzibari?

    Nauliza tu wataalamu wa mambo ya serikali ya muungano maana naona ndugu zetu Wazenji ni kama wameishia kwenye Unaibu Waziri. Nawatakia Sabato yenye baraka. Mungu ni mwema wakati wote!
  13. Mung Chris

    Waziri Simbachawene, Watumishi wako hawajalipwa pensheni kama mlivyoahidi

    Mhe. Waziri, Watumishi wako wana miezi 3 hawajalipwa nauli za kwenda majumbani kwao baada ya kustaafu. Watumishi wako wana miezi 4 toka wastaafu hawajalipwa Pensheni na mliahidi na Jenister Mhagama kuwa mtarahisisha malipo ya pensheni kuchukua muda mchache sana, pamoja na kujaza fomu zote na...
Back
Top Bottom