WIZARA YA MADINI YAOMBA SHILINGI BILIONI 89.3
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko ameliomba Bunge liridhie na kupitisha makadirio ya shilingi 89,357,491,000.00 kwa ajili ya matumizi ya Wizara na Taasisi zake kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024
Akizungumza Bungeni Aprili 27,2023 Waziri wa Madini Mhe...