wizara ya sanaa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Abraham Lincolnn

    Ukitaka kujua serikali haijawahi kuwa serious na maendeleo ya kweli, Kabudi na michezo wapi na wapi?

    Ukienda katika serikali zilizo serious na zinazotaka maendeleo ya kweli, Taasisi ya Rais zinakuwa makini sana katika kuteua watu makini, Wenye Ujuzi, Uzoefu na Weledi katika kada husika. Ukienda Marekani pale katika wizara zake, Kiongozi mkuu wa wizara lazima awe mtu competent katika kada...
  2. Wakusoma 12

    Hamis Mwinjuma (Mwana FA) apewe Uwaziri kamili wizara ya Sanaa na michezo

    Umaarufu wake na ushiriki wake kwenye mambo ya Sanaa na michezo ni muda muafaka wa kumpa majukumu rasmi ya wizara. Uzi huu utumike kama rejea. Uzi tayari.
  3. mwanamichakato

    Waziri wa Sanaa na BASATA, kuna baadhi ya nyimbo zinapaswa kutazamwa na kuzuiwa kuepusha uharibifu wa vizazi vyetu

    Utamaduni wetu ni tunu ya taifa Wasanii ktk nyanja mbalimbali wana nafasi kubwa ya kujenga, kuimarisha au kubomoa maadiri, miiko na mila pamoja na desturi. Pamoja na janga la mimba za utotoni. Dunia na nchi yetu bado tunapigana vita pana ya kutokomeza magonjwa ya kuambukiza yanayochochewa na...
Back
Top Bottom