Wizara ya Katiba na Sheria imemwekea Rais Yoon Suk Yeol, zuio la kutosafiri nje ya nchi hiyo kwa maelezo kuwa inachunguza madai ya Uasi yaliyoambatana na Amri ya kuiweka nchi chini y Utawala wa Kijeshi ambayo ilifutwa muda mfupi na Bunge.
Bunge limetaarifiwa kuhusu hatua ya kumpiga marufuku...