WIZARA YA UCHUKUZI, KAMPUNI YA KICHINA MATATANI, MADENI YAWAANDAMA
WIZARA ya Uchukuzi kwa kushirikiana na kampuni ya KICHINA ya China Railway 15 Bureau Group corporation (CR15G) inatuhumiwa kuvunja mkataba na kampuni ya AQARIAN Project Solutions walioingia kujenga na upanuzi gati (kina)...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Uchukuzi kuendelea kulisimamia kwa karibu Shirika la Reli Tanzania (TRC) na kuhakikisha huduma za treni ya SGR zinaboreshwa.
Pia, Majaliwa ameagiza miundombinu ya mradi huo inaimarishwa ili uweze kudumu kwa muda mrefu. Kauli ya Majaliwa inakuja...
Bunge limepitisha muswada unaoanzisha Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) ambayo sasa sasa itakuwa na jukumu la kusimamia viwanja vyote vya ndege hata vile vidogo ‘airstrip’.
Muswada huo uliopitishwa na Bunge jana Agosti 28, 2024 ukisubiri kutiwa saini na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa...
Nimesoma gazeti la leo la Mwananchi Juni 1, 2024 ukurasa wa mbele lina kichwa kisemacho, Bajeti ya Ujenzi Mnyukano hoja ya Mdee na Mawaziri watatu kuhusu mikataba iliyosainiwa na Profesa Makame Mbarawe ya kujenga barabara kilomita 2,035 kwa kiwango cha lami kwa utaratibu wa EPC+F.
Mbunge wa...
Huu ni uzi maalum kwaajili ya Wadau/Wasafiri tunaotumia Viwanja vya Ndege Nchini vilivyopo chini ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania(TAA).
Zipo huduma nzuri,kero na changamoto tunazozipata Wadau/Wasafiri tunaotumia Viwanja hivi vyenye hadhi ya Kimataifa.
Tuwape Maua yao Watendaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.