wizara ya uhamiaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tajiri Tanzanite

    Hivi Wizara ya Uhamiaji haina data base ya taarifa za watu?

    Hapo vip!! Mimi nina passport ya zamani na muda wake unaisha 2027. Sasa nataka kusafiri kwenda ng'ambo,cha ajabu naambiwa mpaka nikate passport ya electronic niliwaambia sawa ila wanataka nianze tena process upya kujaza documents sijui kupeleka wapa na wap yaani ni ulofa mtupu. Sasa hizi...
  2. Taliban Kanye

    KERO Wananchi walia maombi ya Passport kukwama Uhamiaji Kibaha kwa Zaidi ya Miezi Sita: Server na Umeme zatajwa sababu

    Tanzania, nchi ya uchumi wa kati, miongoni mwa nchi zinazoendelea kwa kasi barani Africa, yenye wananchi watiifu kwenye ulipaji kodi, inayoongozwa na serikali inayohamasisha bihashara na uwekezaji ila inakwamishwa na viongozi wachache walio kwenye sekta nyeti ikiwemo UHAMIAJI. ZaIdi ya miezi...
  3. Meneja Wa Makampuni

    NIDA wapewe uhamiaji kwa muda wapo smart sana sijawahi ona taarifa za passport zimekosewa

    NIDA wanachelewesha watu kupata huduma. Wangepewa muda wakujitathimini. Hiyo nafasi wapewe uhamiaji wapo smart sana kwenye kuandaa passport za kusafiria. Sijawahi ona passport imekosewa
Back
Top Bottom