Hapo vip!!
Mimi nina passport ya zamani na muda wake unaisha 2027.
Sasa nataka kusafiri kwenda ng'ambo,cha ajabu naambiwa mpaka nikate passport ya electronic niliwaambia sawa ila wanataka nianze tena process upya kujaza documents sijui kupeleka wapa na wap yaani ni ulofa mtupu.
Sasa hizi...
Tanzania, nchi ya uchumi wa kati, miongoni mwa nchi zinazoendelea kwa kasi barani Africa, yenye wananchi watiifu kwenye ulipaji kodi, inayoongozwa na serikali inayohamasisha bihashara na uwekezaji ila inakwamishwa na viongozi wachache walio kwenye sekta nyeti ikiwemo UHAMIAJI.
ZaIdi ya miezi...
NIDA wanachelewesha watu kupata huduma.
Wangepewa muda wakujitathimini.
Hiyo nafasi wapewe uhamiaji wapo smart sana kwenye kuandaa passport za kusafiria.
Sijawahi ona passport imekosewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.