Hapo vip!!
Mimi nina passport ya zamani na muda wake unaisha 2027.
Sasa nataka kusafiri kwenda ng'ambo,cha ajabu naambiwa mpaka nikate passport ya electronic niliwaambia sawa ila wanataka nianze tena process upya kujaza documents sijui kupeleka wapa na wap yaani ni ulofa mtupu.
Sasa hizi...