wizara ya utalii na maliasili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. I

    Waziri Pindi Chana: Kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 Watalii wa Kimataifa waliongezeka kwa asilimia 96

    Katika kuadhimisha Miaka 60 tokea kuanzishwa kwa Hifadhi ya Taifa Mikumi, Hifadhi hiyo imetajwa kuchangia mafanikio makubwa katika Sekta ya Utalii nchini huku yakitajwa kuchangiwa na jitihada mbalimbali ambazo zimekuwa zikifanyika ikiwemo Filamu "Tanzania: The Royal Tour” pamoja na filamu ya...
  2. Stephano Mgendanyi

    Rais Samia atembelea Banda la Wizara ya Maliasili na Utalii Kizimkazi Zanzibar

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Agosti 24,2024 ametembelea banda la Wizara ya Maliasili na Utalii na kujionea vivutio mbalimbali vya wanyamapori kwenye maonesho ya Tisa ya Tamasha maarufu la Kizimkazi Kusini Unguja visiwani Zanzibar. Akiwa katika banda hilo...
  3. D

    SoC04 TANZANIA TUITAKAYO: Kutangaza utalii kwa njia ya kadi

    TANZANIA TUITAKAYO KUTANGAZA UTALII KWA NJIA YA KADI. Huu ni ubunifu wangu kwenda sekta ya utalii Tanzania kwa kutumia kadi ya mwaliko, Je kadi mwaliko ni nini? Ni kadi maalum itayotolewa au kutumwa kwa familia za watu maarufu duniani kama wanamichezo, wasanii na wana habari wa nje ya Afrika...
  4. P

    SoC04 Tanzania Tuitakayo: Mradi wa kuandaa watalii nje ya Tanzania

    Huu ni mradi bunifu wa kuitangaza Tanzania kwa njia ya vitabu, kwamba vitabu vinavyohusu hadithi na matukio ya kitalii, vivutio, wanyama pekee, picha za maeneo ya kitalii vitakuwa katika simulizi nzuri na kusambazwa kwenye shule za msingi, upili na vyuo katika bara la Ulaya, Amerika na Asia. JE...
  5. R

    SoC04 Tourism in Tanzania

    Revitalizing Tourism for a Brighter Future It's an honor to be here today to discuss the future of tourism in our country. As a newly appointed advisor to the government on tourism, I'm excited to share my vision for how we can revitalize and grow this vital sector of our economy over the next...
  6. Influenza

    Rais Samia awabadili nafasi Mawaziri wa Wizara ya Utalii na Maliasili na Wizara ya Utamaduni na Michezo

    Mohamed Omary Mchengerwa aliyekuwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo amehamishiwa Wizara ya Maliasili na Utalii Aidha, Balozi Dkt. Pindi Chana aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii amehamishiwa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na...
Back
Top Bottom