wizara ya utamaduni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pfizer

    Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo, imesaini makubaliano na Drum Beats kuendesha tamasha la utamaduni

    DODOMA Jumatatu Machi 25 2024: Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na kampuni ya Drum Beats Carnival (T) Limited, ya Jijini Dar es Salaam zimesaini makubaliano ya ushirikiano ambapo kampuni hiyo itaratibu Tamasha la Kitaifa la Utamaduni kwa niaba ya wizara. Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya...
  2. Influenza

    Maharage Chande aondolewa TANESCO, apelekwa TTCL. Gerson Msigwa awa Katibu Mkuu Wizara ya Michezo

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa Viongozi mbalimbali kama ifuatavyo: Amemteua Ndugu Said Othman Yakubu kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Yakubu alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo. Amemteua...
  3. Ojuolegbha

    Uwasilishaji wa Bajeti ya Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo

    Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiwaongoza Watendaji wa Wizara hiyo, Wadau mbalimbali wa Sekta hiyo na baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kuingia katika viwanja vya Bunge kwa ajili ya kushuhudia uwasilishwaji wa Bajeti ya Wizara hiyo...
  4. Ojuolegbha

    Mussa Zungu: Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo wametukumbusha mbali sana

    Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mussa Azan Zungu amewapongeza Uongozi wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa kuweka bidhaa ambazo ndizo wanazifanyia kazi na kusema imewakumbusha mbali sana. Naibu Spika Mhe. Zungu amesema hayo Juni 05, 2023 jijini Dodoma wakati...
  5. Ojuolegbha

    Majumuisho ya Makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Utamaduni

    Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amewasilisha taarifa ya majumuisho ya Makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo, tarehe 28 Machi, 2023 Jijini Dodoma.
  6. Stephano Mgendanyi

    Kamati ya Bunge Yaidhinisha Bajeti ya Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo

    KAMATI YA BUNGE YAIDHINISHA BAJETI WIZARA YA UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imeridhia na kuidhinisha matumizi ya Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ya takribani Bilioni 35.4 kwa mwaka wa Fedha 2023/24. Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo...
  7. Ojuolegbha

    Kamati yapokea na kujadili taarifa ya Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kuhusu muundo na majukumu ya Wizara hiyo

    Kamati ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imepokea na kujadili taarifa ya Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kuhusu muundo na majukumu ya Wizara hiyo kwa mujibu wa ratiba na vikao vya Kamati za Bunge ambavyo vimeanza Machi 10, 2023. ======== Kamati ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na...
Back
Top Bottom