wizi mita maji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    Albert Chalamila: Sijaridhishwa na hiki mlichofanya DAWASA, pia wanaoiba Mita za Maji washughulikiwe

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameitaka Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) kuja na mkakati wa kudhibiti wizi wa Mita za Maji baada ya kueleza kuwa kumekuwa na matukio mengi ya wizi wa Mita hizo. Amesema wezi wa Mita wapo Mtaani hawatakiwi kuchekewa, amesema...
  2. chaz beezz

    DOKEZO Wizi wa mita za maji, mita hizi zinapelekwa wapi?

    Zimepita siku mbili sasa sina huduma ya maji, hii ni baada ya kuibiwa mita ya maji na wezi usiku. Walifika wakafungua mita ya maji kisha wakaondoka nayo, tumekuja shituka asubuhi tunakuta maji yanamwagika kwa wingi sana kucheki mita imeng'olewa. Sijui hizi mita zinapelekwa wapi na istoshe...
Back
Top Bottom