wizi mitandao ya mawasiliano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waziri Jerry Slaa aingilia kati sakata la kukosekana kwa huduma za mitandao ya simu. Aiagiza TCRA kuchukua hatua

    Wakuu, Kwa siku mbili tatu hizi kumetokea changamoto kubwa ya mtandao kwenye upande wa MPESA ambapo watu wamekuwa wakipata changamoto katika kutokea na kupokea pesa kupitia mitandao ya simu. Soma pia: Vodacom yafafanua changamoto ya mtandao inayoendelea, wanashughulikia kumaliza tatizo...
  2. KERO Mitandao ya Mawasiliano kukata pesa ya salio bila ridhaa wala taarifa

    Habarini wanajukwaa, Jamani naomba kufahamu kuhusu hii mitandao ya smu. Nimekuwa nikiweka Salio katika mtandao X mfululizo, jana asubuhi nimeweka salio kwa rusha nikaunga vizuri, jioni wakati narudi mishe nikapitia kwa wakala nikaweka Salio, nafika nyumbani niunge salio naambiwa halitoshi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…