wizi mtandaoni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. H

    Nini kinaendelea katika mitandao ya simu?

    Wana wa Jamiiforums, Nawasalimu. Sina uhakika kama hili linatokea kwangu tu au ni kwa kila mtu zaidi ya mara tatu au nne imetokea kwamba nikipiga tu simu kwa mtu tukajadili habari ya hela ambayo pengine natakiwa kuituma kwa njia ya simu pindi nikikata tu simu meseji inaingia kuwa tuma kwa namba...
  2. Replica

    Aliyemtapeli Ridhwani Kikwete milioni 4, atupwa jela miaka 7

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Innocent Chengula (23) kwenda jela miaka saba, baada ya kupatikana na makosa sita likiwamo la kujipatia Sh4 milioni kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti na Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete...
  3. w0rM

    Wizi wa Mtandaoni umekithiri sana, ndugu yangu alinusurika. Weka kisa chako hapa kuokoa mwingine atakayetaka kutapeliwa kama wewe

    Habari wanajamvi, Utapeli na wizi wa Mitandaoni kwa kweli umekithiri sana jamani, yaani kuna ndugu yangu kidogo aibiwe na hawa watu. Ukweli ni kwamba wizi huu pia hutegemea zaidi bahati ila wengi sana wanaumia na wizi huu. Ngoja niwape kisa kilivyokuwa; Nina kaka yangu mwenye mke na mtoto...
  4. K

    Wizi wa salio kwenye M-PESA wakati unanua vifurushi

    Habari! Wangapi kati yetu tushakutana na changamoto ya kupoteza pesa sababu tu Vodacom Mpesa wanakataa kurudisha pale vifurushi vinajinunua mara mbili wakati mmoja? Kuna haja ya kupaza sauti kwa aina mpya ya mitandao kuibia wateja wao.
  5. Gily Gru

    Nimeibiwa ID identity

    samtz1 analeta ukakasi wa kufanya tuonekane ID moja aache kuiga iga. Anatumia picha zangu kutafuta ma kuniibiia mademu zangu. Moderator Active mnaruhusuje watu kuiga picha zangu. Why? why? why? My name is Gily. The only super villain and master of Minions..
  6. ndege JOHN

    Kaa chonjo utapeli umeshika kasi

    Case 1:leo muda sio mrefu kanipigia simu kijana toka kilindi Tanga akaniuliza wewe ni ndege?ndio. Akasema kuna ndugu zako toka kijijini kwenu wamekuja huku kutafuta maisha(ni kweli wapo wanaukoo fulani wameenda kutafuta ardhi huko kilindi nawajua). Kijana akaendelea kwamba baba yake ni mganga...
Back
Top Bottom