Matukio ya kihalifu yameanza kurejea tena kwenye baadhi ya mitaa ya Jiji la Dar es Salaam. Kwa leo nitazungumzia yanayoendelea Kimara Korogwe, njia ya kuelekea KAM College kupitia mji mpya.
Ndani ya mwezi mmoja kuna watu wawili wamekatwa mapanga na vibaka wanaotumia bodaboda. Matukio haya yote...
Wizi wa mfukoni umeliza sana watu mjini kwenye msongamo, daladala n.k
Watu wameibiwa hela, simu n. K
Zingatia yafuatayo
1. Jiadhari na mtu anayekufatilia
Labda uko mjini unamuona mtu mpya anakufata bila sababu, umeingia dukani kaingia, umeenda kuchukua gazeti unashangaa yupo,
Huyo usione aibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.