wizi na vibaka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Heparin

    DOKEZO Vibaka wanaotumia boda wanakata watu mapanga Mchana kweupe maeneo ya Kimara

    Matukio ya kihalifu yameanza kurejea tena kwenye baadhi ya mitaa ya Jiji la Dar es Salaam. Kwa leo nitazungumzia yanayoendelea Kimara Korogwe, njia ya kuelekea KAM College kupitia mji mpya. Ndani ya mwezi mmoja kuna watu wawili wamekatwa mapanga na vibaka wanaotumia bodaboda. Matukio haya yote...
  2. ngara23

    Namna ya kuepuka kuibiwa kwa njia ya wizi wa mfukon sehemu zenye misongamano

    Wizi wa mfukoni umeliza sana watu mjini kwenye msongamo, daladala n.k Watu wameibiwa hela, simu n. K Zingatia yafuatayo 1. Jiadhari na mtu anayekufatilia Labda uko mjini unamuona mtu mpya anakufata bila sababu, umeingia dukani kaingia, umeenda kuchukua gazeti unashangaa yupo, Huyo usione aibu...
Back
Top Bottom