Hii ni mara ya pili naibiwa pesa kwenye stendi hii ya singida mara ya kwanza niliibiwa laki tatu stendi hii ya singida aisee sasa naona watu wa singida mmenizoea sana aisee na mniibia kwa style ile ile tu sijui nyie watu niwafanyia nini aisee
Kuna siku mmwamenivunjia kioo cha gari langu crown...