wizi wa kura ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Pre GE2025 Kuhusu wizi wa kura, Godbless Lema aipa onyo hili CCM kuelekea kwenye Uchaguzi mkuu 2025

    Wakuu, Akiwa anaongea kwenye kipindi cha Power Breakfast, Lema amewapa onyo hili CCM. Lema amesema kuwa tabia ya CCM kupora na kuiba uchaguzi ni hatari kwa nchi kwani husababisha wananchi kuacha kuamini kwenye sanduku la kura. Lema amesema kuwa wananchi wanapoacha kuamini kwenye mifumo ya...
  2. Mindyou

    LGE2024 Bukoba: Mgombea wa ACT Wazalendo aenguliwa kwenye kinyang'anyiro kisa kushindwa kuelezea wadhfa anaoenda kugombea

    Wakuu, Vuguvugu la uchaguzi wa serikali za mitaa limeendelea kushika kasi. Kupitia mtandao wa X, kada wa ACT Wazalendo amefichua kuwa baadhi ya wagombea wa ACT Wazalendo wameenguliwa kwa kile kilichoonekana kuwa amekosea kuweka mdhamini sahihi na kushindwa kuelezea vizuri wadhfa anaoenda...
  3. The Watchman

    LGE2024 Rasmi CHADEMA kususia uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024

    Wakuu nimekutana na hii video kuhusu CHADEMA kujitoa katika uchaguzi wa serikali za mitaa, hii imekaaje wakuu?
  4. M

    LGE2024 TAMISEMI hii maana yake nini? Kwa nini wakala aruke nafasi hapo kwenye Daftari?

    Angalia hapa kwa makini Afisa uandikishaji anaruka nafasi makusudi badae lazima atapachika majina ya watu. OR TAMISEMI Haya ndio maelekeozo mliyowapa maofisa Uandikishaji? Bado mnasema huu uchaguzi hauna uchakachuaji? Haya yana baraka za nani? Kwa nini mnapenda kulipelekaTaifa kama watu wote...
  5. Mindyou

    LGE2024 Godbless Lema: Nendeni mkajiandikishe ili wakishinda kwa wizi, tujue wameshinda kwa wizi!

    Kada wa CHADEMA, Godbless Lema akizungumza na vyombo vya habari hivi karibuni amewataka wananchi kujiandikisha kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, licha ya changamoto za ukiukwaji wa taratibu na sheria. Soma pia: Lema wa CHADEMA afichua madudu mazito kwenye zoezi la uandikishwaji wa...
  6. Mindyou

    LGE2024 Mwalimu ambaye ni Kiongozi na Kada wa CCM aandikisha wapiga kura Sengerema

    Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kupitia ukurasa wake wa X ameonesha namna ambavyo kumeanza kutokea udhaifu na ubabaifu kwenye mchakato wa kuandikisha wapiga kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Hii ni Kata ya Nyamizeze Sengerema Mwalimu ambaye ni Kiongozi na Kada wa CCM...
  7. Mindyou

    LGE2024 Mwanachama huyu wa CHADEMA afichua mbinu mpya wanayotumia CCM kupora uchaguzi ujao wa serikali za mitaa!

    Joto la Uchaguzi wa Serikali za mitaa linazidi kuwa kali na hii ni baada ya mwanachama mmoja wa CHADEMA kufichua mbinu mpya wanayotumia CCM kuiba na kupora uchaguzi. Kwenye kikao na baadhi ya viongozi wa TAKUKURU, mwananchi huyo amedokeza kuwa CCM tayari imeshaanza kampeni na kwamba kwa sasa...
Back
Top Bottom