wizi wa mita za maji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Kigoma: Zaidi ya mita 300 za maji zaibiwa. Wezi wasakwa

    Hivi Wakuu! Hizi mita za maji zinazoibiwa si dili za watu kadhaa kutoka kwenye mamlaka husika jamani, maana wizi huu umetawala sana. ====== Zaidi ya mita 300 za maji zimeripotiwa kuibwa katika kipindi cha mwaka mmoja mkoani Kigoma. Mkuu wa mkoa huo, Thobias Andengenye ameitaka Mamlaka ya...
  2. A

    KERO Wizi wa mita za maji Mbezi Mtaa wa Luis (Upendo)

    Habari za leo, Ninatokea Mbezi mtaa wa Luis kitongoji cha Upendo. Hivi karibuni kumeibuka wizi wa mita za maji hapa mtaani kwetu bila kujua wanaoiba wanazipeleka wapi, Dawasa tumewapa taarifa lakini hawana majibu. Sasa cha kushangaza hizi mita zina namba zake ambazo ni za usajili. Je, hawa...
Back
Top Bottom