Tarehe 16.7.2024. Nilliibiwa simu ktk eneo langu la kazi. nikaenda polisi kutoa Taarifa wakanipa RB baada ya hapo nikaambiwa ni subili mpelelezi, kufika kwa mpelelezi, ananiambia kutrack simu kuna gjharama. Gharama ya kutrack simu ni shilingi 100,000/=. Thamani ya simu yangu iliobiwa ni shilingi...
Watanzania naomba kuwataadharidha na hili kundi linajiita BLACKROCK-009 wameliza sana watu wakijinfanya kununua kifurushi na wewe kuwekewa pesa kutokana na kifurushi utakacho nunua.
Ni kama DESI watu wameumizwa sana na juzi tarehe 5 wamewabadilikia na kuanzia ha mashariti mapya ambayo...
Wakuu mlioingia kwenye huu mtego wa kuwafanyia survey hawa jamaa online tukutane. Email zao wanasema wanalipa nusu dollar ukimaliza lakini ukifanya hamna unachopata.
Moja ya changamoto kubwa ktk afya ya taasisi za fedha na uchumi kwa ujumla ni wizi kupitia mitandao (Cyber Crimes, Frauds, etc)..Utakatishaji fedha..
Wageni wengi toka ktk nchi za Afrika magharibi hasa Wanaijeria (Nigerians) wanakuwa wakituhumiwa na wengine kukutwa na hatia ya wizi wa mitandao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.