wizi wa mitandao

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tman900

    KERO Ukienda Polisi kuwataka watrack Simu iliyobiwa, bila Pesa hufanikiwi

    Tarehe 16.7.2024. Nilliibiwa simu ktk eneo langu la kazi. nikaenda polisi kutoa Taarifa wakanipa RB baada ya hapo nikaambiwa ni subili mpelelezi, kufika kwa mpelelezi, ananiambia kutrack simu kuna gjharama. Gharama ya kutrack simu ni shilingi 100,000/=. Thamani ya simu yangu iliobiwa ni shilingi...
  2. KakaKiiza

    Watanzani kuweni makini na wezi wamtandao wanajiita blackrock-009 ni wezi

    Watanzania naomba kuwataadharidha na hili kundi linajiita BLACKROCK-009 wameliza sana watu wakijinfanya kununua kifurushi na wewe kuwekewa pesa kutokana na kifurushi utakacho nunua. Ni kama DESI watu wameumizwa sana na juzi tarehe 5 wamewabadilikia na kuanzia ha mashariti mapya ambayo...
  3. Technophilic Pool

    Hawa jamaa wa online survey waongo. Huwa hawalipi ukiwafanyia survey

    Wakuu mlioingia kwenye huu mtego wa kuwafanyia survey hawa jamaa online tukutane. Email zao wanasema wanalipa nusu dollar ukimaliza lakini ukifanya hamna unachopata.
  4. mwanamichakato

    Tahadhari: Utitiri wa wageni toka Afrika Magharibi na wizi wa mitandao

    Moja ya changamoto kubwa ktk afya ya taasisi za fedha na uchumi kwa ujumla ni wizi kupitia mitandao (Cyber Crimes, Frauds, etc)..Utakatishaji fedha.. Wageni wengi toka ktk nchi za Afrika magharibi hasa Wanaijeria (Nigerians) wanakuwa wakituhumiwa na wengine kukutwa na hatia ya wizi wa mitandao...
Back
Top Bottom