wizi wa mtandaoni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Jackson996

    Niliibiwa simu, wezi wamekopa kwenye line yangu. Hii inawezekana vipi wakuu?

    Wakuu habari za January naiman wote n wazima wa afya...niende kwenye mada moja kwa moja Tarehe 25/12/2024 saa 9 Kasoro usiku wa kuamkia Boxing Day nilikabwa kwenye bajaji Tukio lilikuwa hivi Nilikuwa nimetoka mizunguko ya kuizunguka dar na washkaji ilikuwa usiku wa kuamkia tarehe 26...
  2. Siri ya sifuri

    Je,huu si ulaghai!?(utapeli)

    Salaam wakuu. Hii inakuaje!? Pale unapounganishwa na huduma ya matangazo mtandaoni yenye malipo na ambayo hujaiomba,unakuta tu ujumbe umeingizwa kwenye Cm yako kwamba "umeunganishwa bure na huduma yetu kwa siku moja na baada ya hapo utatozwa shilingi 300 kwa siku. Kujitoa piga namba 150...
  3. kichongeochuma

    Hivi serikali inalichukuliaje swala la utapeli kwa njia ya simu? "Ile hela tuma kwenye namba hii", au imeridhika, imewashindwa? Watu wanatapeliwa

    Hii nchi imekuwa ya risk sana and no one cares! Watu wanaibiwa fedha, watu wanatapeliwa kila siku , serikali imekalia kutuma meseji "usikubali kutumanfedha kwa namba usiyo ijua" who cares vijijini huko watu hawaelewi chochote, Kwanini serikali isitafute namna ya kushughulika na hao matapeli...
  4. D

    SoC04 Teknolojia na Uchumi: Namna ya Kutokomeza Wizi wa Mtandao Kupunguza Gharama za Uchapishaji Noti tukuze Uchumi

    Katika dunia ya leo, teknolojia imekuwa kiungo muhimu katika kuendeleza uchumi wa nchi. Hata hivyo, pamoja na faida zake, teknolojia pia imeleta changamoto za kiusalama kama vile wizi mtandao. Tanzania inakabiliwa na changamoto hizi huku mamilioni ya fedha yakiibiwa kutoka sehemu mbalimbali...
Back
Top Bottom