Wakuu habari za January naiman wote n wazima wa afya...niende kwenye mada moja kwa moja
Tarehe 25/12/2024 saa 9 Kasoro usiku wa kuamkia Boxing Day nilikabwa kwenye bajaji
Tukio lilikuwa hivi
Nilikuwa nimetoka mizunguko ya kuizunguka dar na washkaji ilikuwa usiku wa kuamkia tarehe 26...
Salaam wakuu.
Hii inakuaje!?
Pale unapounganishwa na huduma ya matangazo mtandaoni yenye malipo na ambayo hujaiomba,unakuta tu ujumbe umeingizwa kwenye Cm yako kwamba "umeunganishwa bure na huduma yetu kwa siku moja na baada ya hapo utatozwa shilingi 300 kwa siku.
Kujitoa piga namba 150...
Hii nchi imekuwa ya risk sana and no one cares! Watu wanaibiwa fedha, watu wanatapeliwa kila siku , serikali imekalia kutuma meseji "usikubali kutumanfedha kwa namba usiyo ijua" who cares vijijini huko watu hawaelewi chochote,
Kwanini serikali isitafute namna ya kushughulika na hao matapeli...
Katika dunia ya leo, teknolojia imekuwa kiungo muhimu katika kuendeleza uchumi wa nchi. Hata hivyo, pamoja na faida zake, teknolojia pia imeleta changamoto za kiusalama kama vile wizi mtandao.
Tanzania inakabiliwa na changamoto hizi huku mamilioni ya fedha yakiibiwa kutoka sehemu mbalimbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.