Salaam wakuu.
Hii inakuaje!?
Pale unapounganishwa na huduma ya matangazo mtandaoni yenye malipo na ambayo hujaiomba,unakuta tu ujumbe umeingizwa kwenye Cm yako kwamba "umeunganishwa bure na huduma yetu kwa siku moja na baada ya hapo utatozwa shilingi 300 kwa siku.
Kujitoa piga namba 150...