wizi wa tv

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. KERO Same Mjini wizi wa TV umekithiri, mwezi mmoja zimeibiwa TV zaidi ya 30?

    Mji wa Same ni mdogo sana ila inashangaza ndani ya wiki tatu zilizopita zimeibiwa TV nyingi sana, je, zinakwenda wapi? Au zinauzwa wapi? Maeneo ya Sterling na Stesheni kwa mfano zimeibiwa TV nne kwa siku moja, hii sio kawaida. Polisi hebu fuatilieni zinakopelekwa? Au kama hazijatoka Same...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…