Mnatia aibu kina Ngosa madhara ya kudharau elimu ndio haya mnatia aibu taifa letu.
Najua itawagusa lakini huo ndio ukweli watani zangu
Acheni ujinga huu mungu amewapa utajiri wa asili utumieni ila shule nayo ni muhimu sana
Chanzo cha kichwa cha habari ni gazeti la mwananchi la leo
Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga linamshikilia binti mwenye umri wa miaka 16, aliyefahamika kwa jina la Maduki Sabuni mkazi wa Imalanguzo Ushirombo mkoani Geita kwa tuhuma za wizi wa mtoto wa miezi 9 mkazi wa Manzese Manispaa ya Kahama.
Kamanda wa Polisi mkoani humo, SACP. Janeth Magomi amesema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.