wizi wa watoto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. NostradamusEstrademe

    Sababu Kanda ya Ziwa kuwa kinara wizi wa watoto

    Mnatia aibu kina Ngosa madhara ya kudharau elimu ndio haya mnatia aibu taifa letu. Najua itawagusa lakini huo ndio ukweli watani zangu Acheni ujinga huu mungu amewapa utajiri wa asili utumieni ila shule nayo ni muhimu sana Chanzo cha kichwa cha habari ni gazeti la mwananchi la leo
  2. mwanamwana

    Kahama: Binti wa miaka 16 mbaroni kwa wizi wa mtoto wa miezi 9

    Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga linamshikilia binti mwenye umri wa miaka 16, aliyefahamika kwa jina la Maduki Sabuni mkazi wa Imalanguzo Ushirombo mkoani Geita kwa tuhuma za wizi wa mtoto wa miezi 9 mkazi wa Manzese Manispaa ya Kahama. Kamanda wa Polisi mkoani humo, SACP. Janeth Magomi amesema...
Back
Top Bottom