Wakuu,
Kuna thread nimeona inaeleza usawa kati ya waliosoma gvt na pvt katika kupata mkopo
Hapana kabisa, najua watu wanaolipia watoto wao kwa mwaka mmoja 2m-m5 kuanzia nursery had advance ndo uje kusema wana haki ya kupata mkopo wa 1.2 -2.0mil ya chuo kikuu? How comes
Wale yatima na kaya...