Kutokana na ukosefu wa ajira na wingi wa wasomi, imepelekea kua na mlundikano mkubwa wa wahitaji wa kazi kuliko uhitaji. Mathalani kada moja unaweza kuta nafasi moja lakini kuna waombaji zaidi ya 100.
Hapa changamoto inapoanza huwezi kuongea na watu 100. Hivyo kuna haja ya kuwachuja ubakiwe na...