x (twitter)

Twitter is an American social networking service that was rebranded as X in 2023. Established in March 2006, it grew to become one of the world's largest social media websites and the fifth-most visited website in the world. It was launched in July 2006, and its creators Jack Dorsey, Noah Glass, Biz Stone, and Evan Williams, established Twitter, Inc. in San Francisco, California, as its managing company in April 2007.
A defining feature was its demand for succinct posts, originally capped at 140 characters and later extended to 280 in 2017. Users could share concise text messages, images, and videos through "tweets" and engage with other users' content via likes or "retweets". Additional features like direct messaging, bookmarks, and lists were also included. Later innovations such as groups ("communities") and Birdwatch, allowing users to annotate tweets for context, were introduced. By 2012, over 100 million users were generating 340 million tweets daily, with the majority coming from a minority of users. In 2020, it was estimated that approximately 48 million accounts (15%) were bots rather than genuine users.
In October 2022, billionaire entrepreneur Elon Musk acquired Twitter for US$44 billion, assuming the role of CEO with an aim to champion free speech. However, since the acquisition, the platform has faced criticism for facilitating the spread of disinformation and hate speech. Linda Yaccarino succeeded Musk as CEO on June 5, 2023, while Musk retained positions as chairman and chief technology officer. In July 2023, Musk announced the rebranding of Twitter to X, accompanied by the retirement of its iconic bird logo.

View More On Wikipedia.org
  1. Teko Modise

    Je mtandao wa X (twitter) umezimwa Tanzania?

    Mtandao namba 1 kwa kuibua mijadala mbalimbali ulimwenguni maarufu kama X zamani ukijulikana kama Twitter ni kama umezimwa nchini Tanzania. Ukijaribu kuingia kwa njia ya kawaida unagoma mpaka utafute VPN. Je ni tatizo la kimtandao au ndio umezimwa kimyakimya?
  2. KING MIDAS

    Huko Jamhuri ya Watu wa X (Twitter) habari ya mjini ni " ka Omari"

    Kuna Dada mmoja anamporomoshea kashfa na kejeli za kila namna mume wake wa zamani, akimwita ka Omari. Mbaya zaidi huyo ka Omari kakaa kimya, hajibu chochote
  3. Zero IQ

    Nimerejea JF baada ya kuupitia mtandao wa X (Twitter)

    Habari za Asubuhi wakuu,wale wakubwa zangu Shikamoo Mshana Jr ,Shikamoo ndugu yangu wa muda mrefu GENTAMYCINE ,mambo vipi mdogo wangu rikiboy Mzee wa kula Tunda kimasihara, Kiufupi ndugu yenu ZERO IQ nilijipa breki kidogo hapa Jamii forum na kwenda huko kwenye huo mtandao wa watu wa X zamani...
  4. RWANDES

    Mtandao wa X (TWITTER) waifunga akaunti ya kiongozi wa kiislamu Ayatollah Khamenei, baada ya kuandika ujumbe wa kuikosoa Israel

    Mtandao wa kijamii wa X zamani (Twitter), umesimamisha na kuifungia akaunti ya lugha ya Kiebrania ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei. Hatua hiyo imekuja saa chache baada ya akaunti hiyo kutuma ujumbe unaosema, “Utawala wa Israel ulifanya makosa. Ulikosea katika...
  5. T

    Elon Musk: Ukiweka bandiko la umma (Public Post) kwenye mtandao wa X (Twitter), ni lazima wale wote uliowablock waweze kuona bandiko lako

    Elon Musk anaendelea kuboresha kanuni za mawasiliano ya mitandaoni kwa hatua nyingine ya juu kabisa. Sasa Elon anasema kama umaweeka bandiko ama post na imechagua hilo bandiko liende kwa umma ama public basi hata wale ulio wablock wanatakiwa kuona maana ni public unless uchague kuweka private...
  6. Mtoa Taarifa

    Mahakama ya Brazil yaufungulia Mtandao wa X (Twitter) baada ya kulipa faini

    Uamuzi huo umefanywa na Jaji Alexandre de Moraes ikiwa ni miezi miwili tangu Mtandao huo ilipofungiwa kutoa huduma zake nchini humo kwa madai ya kukiuka Sheria ya Mitandao Brazil's Supreme Court has said it is lifting a ban on the social media platform X, formerly known as Twitter. In his...
  7. mapema

    Napata changamoto hii nikiwa natumia X (Twitter) Msaada tafadhali!

    Toka 2021 nimekuwa nikitumia Twitter ku comment na ku like ku following, ila miaka ya hivi karibuni imenizuia kufanya hayo yote isipo kuwa ku like. Naomba msaada kama kuna namna ya kufanya niweze kutumia kwa ukamilifu, nimejaribu kuwasiliana nao inashindikana au sijajua namna nzuri ya...
  8. Suley2019

    Mtandao wa X (Twitter) unaelezwa kuzuiwa nchini Tanzania. Mmeanza kuinstall VPN's?

    Mnamo tarehe 30 Agosti 2024, tuliona ongezeko la hali isiyo ya kawaida kwenye mitandao kadhaa nchini Tanzania, ikionyesha kuwa upatikanaji wa Twitter/X ulizuiliwa kwa watumiaji wengi nchini. Ishara zenye nguvu zaidi za kuzuiliwa kwa Twitter/X zilionekana kwenye mitandao ifuatayo: Vodacom...
  9. BARD AI

    Brazil: Mahakama Kuu kupiga Kura ya kuamua kama X (Twitter) inastahili kufungiwa

    Mahakama Kuu nchini Brazil, leo September 2, 2024 itatoa uamuzi kwa kupiga Kura itakayoidhinisha kufungiwa au kuondoa adhabu hiyo dhidi ya Mtandao wa X (zamani Twitter), uamuzi uliotolewa Agosti 31, 2024 na Jaji Alexandre Moraes. Kura hizo zitapigwa na Majaji 11 akiwemo Jaji Mkuu ambapo idadi...
  10. Cannabis

    Netblocks: Mtandao wa X (Twitter) umepigwa pini nchini Tanzania

    Taarifa kutoka Netblocks zinasema mtandao wa X (Twitter) umepigwa pini nchini Tanzania --- Confirmed: Live metrics show that X (formerly Twitter) has been restricted on Tanzania's main internet providers; the incident comes as the police force issues an alert over alleged opposition party plans...
  11. Robert Heriel Mtibeli

    Pre GE2025 Mnaacha kufunga mafisadi na wanadhulumu wananchi mnataka kufuñga X (Twitter) acheni unafiki

    MNAACHA KUFUNGA MAFISADI NA WANAODHULUMU WANANCHI MNATAKA KUFUÑGA k X (Twitter) ACHENI UNAFIKI. Anaandika, Robért Heriel Mtibeli Ni kweli ushoga ni mbaya hilo hata sisi Watibeli tunajua na tunaupinga. Lakini hiyo haimaanishi kuwa ni mbaya zaidi kuliko ufisadi na dhulma. Kihistoria dunia...
  12. Abdul Said Naumanga

    Kwanini mtandao wa X (Twitter) unapigwa vita nchini Tanzania?

    Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imekuwa ikishuhudia mijadala mikali kuhusu matumizi ya mitandao ya kijamii, hasa Twitter, ambayo imekuwa ikichukuliwa kama mtandao wenye nguvu katika kuhamasisha mabadiliko na kutoa maoni. Hata hivyo, kumekuwa na upinzani mkubwa kutoka kwa baadhi ya...
  13. BARD AI

    Mtandao wa X (Twitter) waruhusu watumiaji kupost maudhui ya ngono

    Jukwaa la mtandao wa kijamii wa X maarufu kama Twitter, limebadili Sera zake za Maudhui na sasa litaruhusu rasmi watu kuonesha au kuchapisha maudhui ya watu wazima yanayohusisha Ngono ilimradi tu yaandikwe kabisa kuwa ni maudhui ya aina hiyo. Hatua hiyo inairasimisha sera ya maudhui ya kikubwa...
Back
Top Bottom