Kwa jinsi hali ya mambo inavyokwenda, napendekeza kuwa wananchi wote wa TANGANYIKA tuandamane tarehe 23 kwa utaratibu huu.
1. Tumchangie nauli dada yetu Mange Kimambi aje nchini kuongoza maandamano.
2. Nyuma yake afuate Mbowe, Lissu, Mnyika na viongozi wa ngazi za juu.
3. Nyuma yao wafuate...