Tao Yang is a Chinese-American computer scientist. Yang is the Chief Scientist and Senior Vice President of Ask.com for web search. He is also a tenured professor in Computer Science at the University of California, Santa Barbara.
Hivi nyie 'nyuma mwiko' hamkui Tu! Mnatushangaza Sana, mmekuwa wa ku-copy and paste. Kila 'Nguvu moja' ikianzisha Jambo, basi Nyuma mwiko' lazima waige.
Kwa nini mnapenda Kula makombo! Tumemwacha Okrah nyie mkambeba, Baleke, Mkude na Chama mkamtolea udenda.
Haijaisha, tumekwenda South Africa...
Ule utovu wa nidhamu umeendelea kutamalaki kupelekea wachezaji waaandamizi Aziz Ki na Mwamnyeto kuchapana makonde mbele ya kocha mpya, inasemekana Mwamnyeto anamtuhumu Aziz Ki kupeleka majungu kwa viongozi na kocha mpya kuhusu baadhi ya wachezaji kuwa hawafai kupata namba.
Hizo habari...
Hakika Yanga inaendeleza historia yake ya miaka mingi.Yaani haina utani katika kufanya maamuzi.
Yaani ukiizingua Yanga haikuachi ukiisaliti Yanga lazima ikunyooshe.
HONGERA ENG Hersi.
na wengine wote waliobakia.
YOU ARE EITHER WITH YANGA OR AGAINST YANGA!!
Huu ni ujinga. Siku zote hamkufunga cameras. Tumekuja sisi mnataka kufunga CCTV. Maana yake sisi ndo tatizo? Acheni huo ujinga.
Kuna nini cha kusema hizo cameras zitalinda pale uwanjani? Mbona hamna lolote la maana na kauwanja kenu kama ka shule ya msingi?
Sisi tumemchukua kocha wenu yeye...
Doh! Sio Mchezo
Kipigo cha Yanga dhidi ya Tabora United cha bao 3-1 kimetumika darasani kama somo la kusoma kwa wanafunzi wanaojifunza Kiswahili.
Soma, Pia: Full Time: Yanga SC 1 - 3 Tabora United | NBC Premier League | Azam Complex | November 7,024
Katika video iliyosambaa, wanafunzi...
Hakuna timu nyingine utamkuta kocha ana furaha na wachezaji wake kama alivyo Gamondi.
Kwa furaha hii, tuendelee kuiona Yanga ikichukua mataji baada ya mataji.
Na Jumamos ijayo Vital'O ya Burundi itakula goli nyingi sana pale Chamazi.
.
Makolozidadi endeleeni kununa.😛😛😛
Ile mechi ya derby Simba anakufa goli 5 haikuiacha timu salama.
Inadaiwa Wachezaji 5 wa Simba, Chana, Manula, Saidoo, Inonga na Baleke, walituhumiwa kupokea kiasi kikubwa cha pesa toka jangwani.
Muhusika mkuu aliyefanikisha hiyo miamala anadaiwa kuwa ni Jonas Mkude ambaye uongozi wa Simba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.