yanga day

Mapou Nzapali Yanga-Mbiwa (born 15 May 1989) is a French professional footballer who plays as a centre-back. He currently plays for FC Istres who are in Championnat National.

View More On Wikipedia.org
  1. Mturutumbi255

    Baada ya Simba Day na Yanga Day Kutamatika, Ni Zamu ya Watani Kukutana – Uchambuzi wa Kitaalamu na Utabili wa Matokeo

    Baada ya Simba Day na Yanga Day kutamatika, sasa ni zamu ya watani wa jadi kukutana kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa tarehe 8 Agosti 2024. Mechi hii itakuwa ya kuvutia sana kwa sababu ya historia na ushindani mkali baina ya timu hizi mbili kubwa za Tanzania. Chanzo: Mitandaoni Timu ya Simba SC...
  2. M

    Yanga Day iliharibiwa na MC WATATU

    Kosa lililofanyika ni kuwaweka washereheshaji watatu ambao wote sio Professional. NI WAJUAJI SANA. Kitenge, Manara na Zembwela wanachojua ni kupiga makelele tu na kutumia maguvu kuongea, yaani ni vurugu mwanzo mwisho, baya zaidi they are very poor in TIME MANAGEMENT. Shughuli ya jana...
  3. Best Daddy

    Wasimamizi Yanga Day Ovyo Kabisa

    Tayari tumewazoea, ila hatukujua kama hamjabadilika. Hakuna tamasha la Siku ya mwananchi liliwahi tamatika bila vituko, malalamiko au majonzzi katika miaka ya hivi karibuni. Mwanzo tuliamini bado ni wachanga katika matukio makubwa kama haya. Ila umefanya matukio kama haya zaidi ya mara tano...
  4. M

    Ujumbe kwa uongozi wa Simba day na Yanga day, swala ni muhimu kuliko Simba day na Yanga day

    Ujumbe huu kwa uongozi wa Simba Day & Yanga wenye imani ya dini ya kiislam (Wasiokuwa waislam haiwahusu) Mapambio yanaaza ynaanza saa 9 hadi saa 5 usiku. Swala ya Alaasiri Swala ya Magharibi Swala ya Isha hizo swala zote zinakosekana Tunajua madhara ya kuacha hizi swala kwa swala la michezo...
  5. M

    Harmonize kutumbuiza Yanga Day

    klabu ya Yanga imemtangaza msanii harmonize kutumbuiza katika kilele cha siku ya wananchi tarehe august4 siku ya jumapili na tayari msanii huyo ametambulisha nyimbo yake mpya atakayo tumbuiza siku hiyo ya wananchi. Huyu ni miongoni mwa wasanii wengi watakao tumbuiza siku hiyo, huu ni ushahidi...
  6. Ubaya Ubwela

    Tiketi za 'Simba Day - Ubaya Ubwela' zinakaribia kuisha, Yanga mnafeli wapi?

    SOLD OUT YA UBAYA UBWELA HII HAPA. Kwa wale wachache wa mwisho kupenya na kupata tiketi changamkeni. Huu umekuwa ni utamaduni wa Simba kuujaza Uwanja kwa kuuza tiketi zote, Ni tofauti na upande wa pili Yanga wao kuujaza uwanja hawawezi mpaka wanunuliwe tiketi au wasubiri fungulia dogy Mara...
Back
Top Bottom