yanga kufungwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Yanga kufungwa na MC Alger leo,Simba itacheza kesho na Constatine

    Habari za asubuhi wana jukwaa natumai mmeamka salama kabisa na tayari mmeshafanya maombi kwa Mwenyezi Mungu juu ya mahitaji binafsi. Kichwa cha habari kinahitaji elimu ya darasa la nne tu kukielewa kwa ufasaha,utopolo fc msikurupuke kama mwanasheria wenu Patrick Simon bali mnapaswa muwe na...
  2. Ladder 49

    Umefika muda Yanga sc hawajui hata waanze kumlaumu nani

    Umefika muda Yanga sc hawajui hata waanze kumlaumu nani. Kipigo cha leo cha Yanga dhidi ya Al Hilal kimekuwa na sitofahamu tatizo la Yanga ni nini kwa sasa maana kila mtu anasema lake Kocha anasema wachezaji hawana fitness lakini mpira ulivyochezwa Yanga wamepata nafasi nyingi na ndio...
  3. The Watchman

    Hafla ya kukabidhi Sh20 milioni kwa Tabora United baada ya kuifunga Yanga

    Hali ilivyo kwenye hafla ya kukabidhiwa Sh20 milioni kwa Tabora United baada ya kuifunga Yanga. Tabora United imekabidhiwa Tsh. 20 Milioni na Mhe. Paul Chacha Matiko Mkuu wa Mkoa wa Tabora ambayo ilikuwa ni ahadi baada ya kuichakaza Yanga SC goli 3-1. Soma Pia: RC Chacha aahidi milioni 50...
Back
Top Bottom