yanga kuhama uwanja

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Msemaji wa Azam FC Hashim Ibwe unaogopa nini kutoa Siri ya kilichokuwa kikiendelea Chamazi kilichokuwa kinafanywa na Yanga SC walipokuwa huko?

    "Kama mmeamua Kuhama hameni kimya kimya na acheni kuanza Kutuchafua kwani hata Sisi tuna yenu mengi sana tu ila tumeamua kunyamaza lakini mkiendelea na Upuuzi wenu tutaisimamisha nchi kwa kusema yale mliyokuwa mkiyafanya na ambayo mengi tumeyarekodi vile vile" amesema Msemaji wa Azam FC Hashim...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…