yanga mc alger

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Komeo Lachuma

    Huyu ndio aliwadokeza hawa Waarabu. Ameniharibia huu mwaka kabisa namlaani

    Hii text jamaa wa MC Algers wanasema ndo aliwashtua mambo mengi mengine kuna jamaa anasema atatuma jumbe zote ambazo watu walikuwa wanawatonya MC Algers. Kuna watu wamewapa mchongo wote hawa jamaa. Hawa ndo wamesababisha tusipate ushindi. Uongozi wa MC Algers walishasema kuhusu referee kuwa...
  2. Mtu Alie Nyikani

    Kwani haiwezekani Yanga tukate Rufaa MC Alger anyang'anywe point kwa kupoteza muda

    Wakuu, habari zenu? Nianze kuunga mkono kwa Yule ambaye atasema "Bara la Africa limelaniwa" pasipo na shaka Wala dukuduku lolote kutoka moyoni yupo sahihi. Hii haiwezekani hizi hujuma ambazo wana-Yanga tumefanyiwa kwenye match yetu kati ya MC Alger hazitakiwi na Wala siyo vitendo...
  3. Chizi Maarifa

    MC Alger anafungwa atake asitake. Yanga isiposhinda nipigwe ban ya wiki

    Haiwezekani Yanga leo isishinde. Haiwezekani. Yanga leo inashinda si chini ya bao 2. Yaani ushindi upo na ni lazima. Yanga imejipanga kwa hali na mali na kwa kila kitu. Leo tunashinda. Ubao umetusoma vizuri na wazee wamebariki. Hatoki mtu hapa kwa Mkapa. Nipigwe ban na viboko 14 hadharani...
Back
Top Bottom