Tukiendelea na hekaheka za kombe la dunia pia Ligi kuu Tanzania Bara inaendelea leo kwenye dimba la Benjamin Mkapa ambapo Yanga anaikaribisha Mbeya City.
24' ⚽ Yanga inatangulia kwa goli lililofungwa na Fiston Mayele.
33' Moloko anajaribu lakini beki wa Mbeya City anaweka mguu na mpira...