yanga vs azam

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Yanga mmetuonesha ubora wenu, nakubali hakuna timu inaweza kupishana na nyie uwanjani ikapona. Fitness na team work yenu ni ya viwango vya juu!

    Mechi ya jana imetuonyesha ubora wa Yanga kuanzia fitness level yao mpaka team work yao ni ya viwango vya juu sana! Tumezoea team mojawapo inapokuwa pungufu kwa mchezaji Mmoja mara nyingi uwa inafanya sub za kulinda zaidi kwenye eneo lake ili kukabiliana na mpinzani husika lakini jana ilikuwa...
  2. magnifico

    Feisal Apewe tuzo Ya Fair Play Kwa Kitendo Alichofanya Jana kwenye mchezo kati ya Yanga VS Azam

    Jana kwa walioangalia mpira kuna muda Khalid Aucho alifanyiwa madhambi ya makusudi kabisa na mchezaji wa Azam sijui nani yule. Kipindi hicho tayari ana kadi ya njano na alitaka kuinuka kwa gadhabu sana ili akamvae yule jamaa lakini Feisal akamuwahi kumzuia. Mind you kama Feisal angemuacha ina...
  3. osc michael

    Sababu zilizopelekea Yanga SC kupoteza dhidi ya Azam FC

    1.Kucheza chini ya kiwango kwa pasi nyingi ambazo zilikuwa hazina tija. 2.Uchovu wa mechi iliyopita. 3 Baada ya kumtoa Baca Kwa kadi nyekundu wameweza kupita. 4.Wamekosa ufundi wa strikes 5.Walikosa ubunifu kutokana na kutocheza vizuri bila individuals skills. 6.Refa leo hakuweza kumudu...
  4. Dabil

    Kocha Miguel Gamond hafurahishwi Azam Complex kuwa uwanja wa nyumbani

    Katika mahojiano na Kocha wa Yanga Miguel Gamondi amekaririwi akisema sifurahishi na uwanja wa Azam Complex kuwa awanja wa nyumbani, "Hata tukiwa Zanzibar nilisema kuwa sifurahishwi na uwanja wa Azam complex,Azam na Yanga ni derby lolote linaweza kutokea". Hata hivyo Yanga walijaribu kuomba...
Back
Top Bottom