Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba SC Ahmed Ally leo January 20,2025 ameamua kulipamba gari lake msimamo wa Kundi A alilotoka Yanga
SC Ligi ya Mabingwa Afrika akiwa na lengo la kuwakera.
Ahmed Ally amesema ameamua kufanya hivyo ili kuwakumbusha Watu akisema sababu ni kwamba hapa...