Mshambuliaji wa timu ya Yanga SC Mgadafiprince ametoa shukrani kwa uongozi wa timu oamoja na mashabiki wa yanga kwa kumpa sapoti tangu kujiunga kwake na timu hiyo, aidha mshambuliaji huyo amewaahidi wanayanga kuwafanyia makubwa kwenye michezo inayofuata ya kitaifa na kimataifa baada ya kupata...