Tukiendelea na hekaheka za kombe la dunia pia Ligi kuu Tanzania Bara inaendelea leo kwenye dimba la Benjamin Mkapa ambapo Yanga anaikaribisha Mbeya City.
24' ⚽ Yanga inatangulia kwa goli lililofungwa na Fiston Mayele.
33' Moloko anajaribu lakini beki wa Mbeya City anaweka mguu na mpira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.