yangavssimba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dabil

    Ni hujuma Ramadhani Kayoko kuchezesha derby

    TFF wamekosea sana mechi ya tarehe 8 refa wa kati kuwa Kayoko. Kayoko ana madhaifu mengi kwanini wasimlete Arajiga kwa mechi kama hii? Kayoko tangu derby iliyopita kachezesha mechi moja tu wiki zilizopita,mda huo wote aliwekwa benchi na kamati ya marefa baada ya kuona mapungufu yake kwenye...
  2. M

    Salamu zangu za kwanza kuelekea Derby zinaanzia kwa Uongozi wangu wa Simba Sports Club

    Ndugu Mohamed Dewji Mwenyekiti wa Bodi Bodi ya Wakurugenzi Simba Sports Club DAR ES SALAAM YAH: MECHI YETU DHIDI YA YANGA AFRICANS A.K.A UTOPOLO SIKU YA TAREHE 08 MACHI 2025 Ndugu Mwenyekiti, pokea salamu hizi za dhati kabisa kutoka kwangu mwanachama wa Simba Sports Club. Ndugu Mwenyekiti...
Back
Top Bottom