yapi

Yapi is a surname. Notable people with the surname include:

Cyril Yapi (born 1980), French footballer
Gilles Yapi Yapo (born 1982), Ivorian footballerSee also

Enerji Yapi-Yol Sen v Turkey, is a European labour law case
Yapi Kredi Bank Azerbaijan, is a bank based in Azerbaijan
Yapi Kredi Publications, is one of the biggest publishing houses in Turkey

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Samia ni Jembe - Mbowe

    "Tukianza kutafuta asiye na dhambi ili tujadiri naye kuhusu kesho yetu hatutampata,hivyo tuna kila lazima ya kuacha chuki na visasi na kuwaamini viongozi wetu" "Siwezi kuwa chawa wa Mama (Rais Samia) na wala sio wa chawa wa mama, lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, utawala wa Mama japo...
  2. Ni mashirika yapi ya serikali hayapo kwenye mfumo wa Lawson?

    Naomba wenye uzoefu na ufahamu wanisaide ni mashirika gani (kwa majina) ambayo hayapo kwenye mfumo wa Lawson. Mimi ni muanga wa kuacha kazi serikalini mwaka 2012 na inanisumbua kurudi kwenye ajira za serikalini. Nimeshauriwa na watu nijaribu kuomba kwenye taasisi za serikali ambazo hazitumii...
  3. Wizi mpya, makufuli yanafunguliwa kwa gesi kimya bila kelele, tununue makufuli yapi?

    Ni kimya kimya tu, kufuli linapigwa moto wa gesi linaachia lenyewe ama kuyeyuka.... Nakumbuka kuna kipindi flani hapo miaka ya 2021 kuna mwizi alikuwa anahisiwa ndiye anaibia sana maduka ya mtaani kwa mbinu hii, alipoona watu wanamhisi ndiye ila hawana ushahidi ikabidi ahame mji, ni maduka kama...
  4. Milango ya chuma ni Bora dhidi ya mchwa,lakini ni zipi faida zake zaidi na ni yapi mapungufu yake?

    Siku za hivi karibuni kumekuja ubunifu wa milango ya chuma, Milango hiyo mwanzo ilianza kuonekana ktk maduka ikitokea nje ya nchi. Lkn bahati nzuri pia mafundi wetu wa vifaa vya grill nao wameanza kutoa milango kama hiyo ya nje lakini walitengeneza kwa mabati magumu sana wakiunganisha kwa...
  5. G

    Yapi ni Maono ya Taifa la Tanzania huko tuendako?

    Tanzania kama Taifa mojawapo hapa Duniani lazima iwe na Dira na Maono yanayoonyesha jinsi na namna itakavyojiendeleza kitaifa na kimataifa. Kuna vipindi tumeshuhudia tukiletewa mipango ya muda mfupi,kati na mrefu ya Taifa Letu,tatizo ni maono,dira na mipango gani hiyo tuliyoweka? Hayo maono...
  6. Tafakari yetu kwa shule za msingi.

    Wiki hii nilikuwa kwenye matembezi yangu mtaani mzazi fulani akiwa hoi anatoka shamba akakimbiliwa na mwanaye mtoto akamwambia mzazi,kule shule wameagiza traksut mzazi akaonekana kuzidi kuchoka mana hali ngumu ya maisha inampiga na mtoto ndiyo hivyo.Ukimuangalia mtoto kavaa yebo ametoka shule...
  7. Adhabu ya Viboko: Upi ni umri sahihi, sehemu sahihi na kwa makosa yapi?

    Mtoto aanze kupewa adhabu ya viboko akifikia miaka mingapi? Ni umri upi wa kuacha kumtandika? Makosa yapi yanahitaji maonyo na yapi yanahitaji bakora hata kama ni mara ya kwanza? Atandikwe kwa bakora, mkanda, n.k wa aina ipi? Idadi ya viboko? Ni sehemu zipi katika mwili za kumchapa?
  8. K

    Je tuwakumbuke kwa yapi wazee waliozaliwa 1940-1960

    Viongozi wetu wengi ukiacha wale wazee waanzilishi ni hawa wa 1940-1960. Hichi ndiyo kizazi cha wasomi, mafisadi, waheshimiwa , watunga sheria karibu wote wa Tanzania ya sasa Swali tuwakumbukaje? Kwa mazuri au hawa ndiyo sababu ya Tanzania kuwa masikini mpaka leo
  9. M

    Timu kubwa hucheza kikubwa na timu inayocheza kibingwa hushinda mechi aijalishi imechezaje na katika mazingira yapi

    Nimeona yanga kwenye mechi ya coastal union nimejiridhisha kwamba msimu huu wamepania kufanya jambo ktk kuupigania ubingwa waliopoteza misimu 3 iliyopita, kuna kauli nazisikia zikisema yanga ilizidiwa umiliki wa mpira na coast lakini asiyeelewa ni kwamba yanga walikwenda mkwakwani wakijua ni...
  10. M

    TUJADILI: Wizara ya Wanawake, Jinsia na Makundi Maalumu. Makundi Maalumu ni yapi hayo?

    Jamani kuna hii wizara mpya aliyopewa Dorothy Gwajima, inaitwa wizara ya wanawake, jinsia na MAKUNDI MAALU MU. Je, hayo makundi maalumu yanayowekwa pamoja na wanawake na jinsia ni yapi hayo? Isije ikawa ni mashoga na wasagaji na waliobadilisha jinsia! Ni vizuri ikawekwa wazi mapema. Huko...
  11. Muungurumo kama wa mashine masikioni unasababishwa na nini na ufumbuzi/matibabu yake ni yapi

    Salaam kwenu wanajukwaa. Nimekuwa nikipatwa na tatizo la kujirudia rudia kusikia kama muungurumo wa mashine kwa mbali masikioni mwangu hasa hasa nikiwa eneo tulivu na peke yangu haijalishi shambani,njiani nikitembea, kazini/ofisini ama nyumbani kwangu na muungurumo huo nimezapo mate tu hutoweka...
  12. N

    Ni yapi madhara ayapatayo mwanaume kwa kumuingilia mke kinyume na maumbile?

    nawasalimu kwa jina la jmt! Tumeona na kuelimishwa na nyuzi nyingi sana humu kuhusu madhara wayapatayo wanaoingiliwa kinyume na maumbile. Hebu leo tufahamishane kuhusu madhara ya kiafya kwa upande wa anayeingilia. Ahsante!
  13. N

    Msaada kwenye tuta: Matumizi ya kifaa kinachoitwa dehumidifier kwa hapa bongo ni yapi?

    Pamoja wakuu, naomba kufahamishwa matumizi ya dehumidifier kwa hapa bongo na kama kuna maduka yanaziuza na soko lake linakuwa linalenga watumiaji wa aina gani. Nawasilisha.
  14. Mambo gani ya fedheha umewahi kufanya kwasababu ya kufulia (kukosa Hela)?

    Pesa ni muhimu aisee, pesa hainunui Kila kitu ila inakamilisha mambo mengi sana, ikose ujue namaanisha nini. Nakumbuka kuna kipindi nlikuwa sina pesa nlikuwa nashindia kiazi utamu kilichochomwa, nashushia maji ya bombani, hicho kiazi ndio msosi wa siku nzima. Nimewahi kukaa na chaja ya...
  15. Ni yapi Majukumu ya BAKWATA?

    Kwanza nitangulize tahadhari sina nia ya kukashifu dini yoyote wala kufanya uzi huu sehemu ya malumbano Si kwamba nataka kuyaelezea majumu hayo la! Bali nataka mniambie ni yapi maana naona kama nielewavyo mimi sivyo Kuna hiki chombo kilichojipa mamlaka ya kusimamia waislam Tanzania (nina maana...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…