Mimi nilikuwa mechi nilikuwa naanglia nani ni best players. so far nimeoma huyu mcolombia atasumbua sana. next season simba na yanga. Zinaweza amia Colombia.
Huyu jamaa ni very intelligent. apotezi pasi ana calmness ya defender mzuri. Wacha tumuone caf champions league. Hicho ndo kipimo cha...