Patung Yesus Kristus is a statue of Jesus Christ located on Mansinam Island, Manokwari Regency, West Papua, Indonesia. The structure stands 29.5 metres tall (15 metres of pedestal and 14.5 metres of statue. The project was inaugurated on August 24, 2014, by President Susilo Bambang Yudhoyono near the end of his last term being the president.
CCM ndiyo inayoongoza Serikali. Lolote baya au zuri linalofanywa na Serikali, CCM inabeba uhusika mkuu.
Jukumu la kwanza la msingi kabla ya mengine yote kwa Serikali yoyote halali Duniani, ni usalama wa wananchi wake.
Katika kipindi hiki cha awamu ya 6, tumeshuhudia uovu wa ajabu kabisa wa...
Wakuu eti kuna ukweli hii miaka tuliyonayo sasa kwa mfano mwaka huu wa sasa yani 2024 ndio umri halali wa Bwana wetu Yesu Kristu (Neema na amani iwe juu yake!)
Yaani miaka hii tuliyonayo ilianza kuhesabiwa mara tu baada ya kuzaliwa kwa masihi, Bwana wetu Yesu Kristu?
Je, kuna ukweli? Na kama...
Pendo Lililobarikiwa,
Amani.
Jamiiforums sasa imekuwa ni Jukwaa la Kijamii la watu kutoka rika na makundi mbalimbali; wenye shauku ya kupenda na kutaka kujua mambo anuai-- yenye kuipa sifa ya sura ya jamii yetu, namna hii ilivyo na kwa lugha yetu hii ya Kiswahili.
Majadiliano, mashauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.