youssouph dabo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kocha aliyepewa "THANK YOU" Azam FC, Youssouph Dabo aibukia AS Vita Club ya DRC

    Youssouph Dabo ametangazwa rasmi kuwa kocha mpya wa AS Vita Club, klabu maarufu kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Dabo anachukua nafasi hii baada ya kuachishwa kazi na Azam FC, ambapo aliifundisha timu hiyo. Uteuzi wa Dabo unakuja wakati ambapo AS Vita Club inahitaji kuimarisha...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…