zabibu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Yoda

    Ulanzi umeingia kwenye mfumo, gongo nayo ipate nafasi ya kurasimishwa

    Ulanzi na pombe maarufu ya ndizi kama "banana wine" nazo ni wine? Ninavyofahamu wine inatengenezwa kwa zabibu tu. Hongera kwa huyu mzee kupaki ULANZI katika hali ya kisasa. Watengeneza gongo nao wapate fursa kama hii.
  2. G

    Kihasibu Yanga wamepata faida iliyofichwa kwa kupandisha matumizi, Mfano ni kipengere cha mishahara ya bilioni 7.3

    kwa makadirio makubwa mishahara ya wachezaji na benchi la ufundi kwa timu kuu, Yanga princess na vijana ni BILIONI 4 kwa makadirio ya juu, Timu kuu mishahara ni BILIONI 3 Wanaopata milioni 25 wawili Wanaopata milioni 20 wawili Wanaopata milioni 15 watatu Wanaopata milioni 10 sita Hao wengine...
  3. G

    MO alishatia Bilioni 20 kitambo na bado anaendelea kugharamika kwa mapenzi ya timu, ni wajinga pekee wanahoji nami nawaelimisha kuwatoa ujinga

    mnadhani hivi vyote vimetokea kimiujiza ? furaha tulizokuwa tunazopata hasa kimataifa mnadhani ni mpera umetoa zabibu ? Kufuzu robo fainali mashindano ya caf ishakuwa kawaida, timu kubwa kama al ahly zinaiheshimu Simba, Simba ni klabu ya 7 kwenye ranking za Afrika, wachezaji wa simba wana soko...
  4. Lycaon pictus

    Unawezaje kutengeneza divai ya zabibu nyumbani?

    Eti wakuu. Kutengeneza divai ya zabibu nyumbani inahitaji vitu gani? Inatengenezwaje?
  5. OCC Doctors

    Fahamu kuhusu Mimba Zabibu 'Molar Pregnancy'

    Mimba zabibu 'Molar Pregnancy' inaweza kusababisha matatizo makubwa, ikiwemo mabadiliko mabaya yanayokaribia kuwa saratani (malignant change). Wagonjwa wote lazima wafuatiliwe kwa muda mrefu ili kuhakikisha kushuka kwa homoni ya ujauzito (HCG) ambayo inaendelea kuonesha uwepo wa ujauzito...
  6. The Eye

    Biashara ya kutengeneza na kuuza mvinyo wa zabibu

    Wakuu habari zenu... Natamani kujua kuhusu hii biashara ya kutengeneza na kuuza mvinyo wa zabibu... Mtaji Vifaa Upatikanaji wa mazao Jinsi ya kutengeneza Kuhifadhi Soko lake... Karibuni kwa michango yenu wakuu
  7. Analogia Malenga

    Zabibu kujumuishwa kwenye zao la kimkakati

    Waziri Mkuu Mheshimiwa Kassim Majaliwa amesema zao la zabibu litajumuishwa katika mazao ya kimkakati ikiwa ni mkakati wa serikali kuinua zao hilo linalolimwa jijini Dodoma. Kutokana na hatua hiyo, zabibu zitajumuishwa katika mazao makuu ya kimkakati nchini ambayo ni pamba, kahawa, chai na...
Back
Top Bottom