zabron singers

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mdukuzi

    ''Mchepuko'' ulivyotaka kuharibu shughuli ya msiba wa muimbaji wa nyimbo za injili Marco wa Zabron Singers

    Kuna wanawake ni nusu watu nusu hayawani. Takriban wiki moja iliyopita muimbaji wa nyimbo za injili Marco Zabron wa kundi la Zabron Singers alifariki jijini Dar es salaam. Mapema wiki hii shughuli ya mazishi ikawa inafanyika huko Kahama mkoani Shinyanga kwao na marehemu. Marehemu alikuwa...
  2. U

    TANZIA Mwimbaji maarufu kundi la Zabron Singers, Marco Joseph afariki dunia

    Wadau hamjamboni nyote? Taarifa za msiba mwimbaji wa kundi la Zabron Singers, Marco Joseph afariki dunia Mwimbaji wa kundi la Zabron Singer, Marco Joseph amefariki dunia kwa ugonjwa wa Moyo jana usiku akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili. Shemeji wa marehemu, Tecla...
  3. Exile

    Huu wimbo wa Zabron Singers unaweza ukatamani kuoa kutokana na vibe lake

  4. BRN

    Zabron singers kwenye sherehe za kumuapisha Ruto

    Hawa jamaa jana tarehe 13/09/2022 kwenye sherehe za kumuapisha Rais mteule wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Kenya Mhe.Ruto walifanya makubwa sana walipowainua na kuwachezesha maelfu kwa mamia ya Wakenya pale Kasarani. Hakika mmetuwakilisha vema..huu wimbo wao wa Nimeuona Mkono wa Bwana hakika una...
Back
Top Bottom