Hawa jamaa jana tarehe 13/09/2022 kwenye sherehe za kumuapisha Rais mteule wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Kenya Mhe.Ruto walifanya makubwa sana walipowainua na kuwachezesha maelfu kwa mamia ya Wakenya pale Kasarani.
Hakika mmetuwakilisha vema..huu wimbo wao wa Nimeuona Mkono wa Bwana hakika una...